Posted by On the spot Tz
1:05:00 AM
0
MSHAMBULIAJI kinda wa Manchester United, Marcus Rashford nyota yake imeendelea kung'ara baada ya kuitwa katika kikosi ncha awali cha England cha wachezaji 26 kwa ajili ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Ulaya, Euro 2016.
Kinda huyo wa umri wa miaka 18, Rashford, ambaye alichezea kikosi cha kwanza cha Man United Februari mwaka huu, ni kati ya washambuliaji watano walioitwa na kocha Roy Hodgson jana.
England itacheza mechi za kirafiki za kimataifa dhidi ya Uturuki, Australia na Ureno kabla ya kwenda Ufaransa kwenye Euro.
Winga Andros Townsend naye ameitwa baada ya kumalizia vizuri Ligi Kuu ya England akiwa na Newcastle United iliyoteremka daraja.
Mshambuliaji chipukiiz wa Manchester United, Marcus Rashford amejumuishwa kwenye kikosi cha awali cha England kwa ajili ya Euro 2016
KIKOSI CHA AWALI CHA WACHEZAJI 26 WA ENGLAND EURO 2016...
Makipa: Fraser Forster (Southampton), Joe Hart (Manchester City), Tom Heaton (Burnley)
Mabeki: Ryan Bertrand (Southampton), Gary Cahill (Chelsea), Nathaniel Clyne (Liverpool), Danny Rose (Tottenham), Chris Smalling (Manchester United), John Stones (Everton), Kyle Walker (Tottenham)
Viungo: Dele Alli (Tottenham), Ross Barkley (Everton), Fabian Delph (Manchester City), Eric Dier (Tottenham), Danny Drinkwater (Leicester City), Jordan Henderson (Liverpool), Adam Lallana (Liverpool), James Milner (Liverpool), Raheem Sterling (Manchester City), Andros Townsend (Newcastle), Jack Wilshere (Arsenal)
Washambuliaji: Harry Kane (Tottenham), Marcus Rashford (Manchester United), Wayne Rooney (Manchester United), Daniel Sturridge (Liverpool), Jamie Vardy (Leicester City)
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...



No comments: