Posted by On the spot Tz
2:06:00 PM
0
Paka aliyewekwa katika kitabu cha kumbukumbu cha Guiness of World record kwa kuwa mzee amefariki.
Scooter aliyesheherekea miaka 30 ya kuzaliwa mnamo mwezi Machi amefariki.
Mmiliki wake Gail Floyd kutoka Texas amesema kuwa paka huyo alifariki baada ya kuthibitishwa kuwa mzee zaidi.
Daktari Tricia Latimer,amesema kuwa Scooter aliishi kwa karibia miaka 136 ya binaadamu na amekuwa akisafiri mara kwa mara.
Kufikia sasa alikuwa ametembea majimbo 45 kati ya 50 ya Marekani.
Tagged with:
KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...


No comments: