Posted by On the spot Tz
12:42:00 AM
0
Kocha wa Inter Club ya Angola, Zdravko Logarusic amewakaribisha Yanga katika ardhi ya Angola, lakini amewaonya kwamba wanapaswa kuwa makini.
Logarusic amesema kamwe haitakuwa kazi rahisi kwa Yanga kwa kuwa Waangola wanachotaka ni kusonga mbele na Esperanca ni timu ya matajiri.
“Wanachotaka Esperanca ni kusonga mbele, hivyo itakuwa ni kazi ngumu kwa Yanga. Nimesikia wana kikosi kizuri, hakika wanapaswa kupambana kweli.
“Kama mechi ingekuwa inachezwa Luanda, ingakuwa rahisi kwa Yanga. Lakini kwao Esperanca lazima kuwe na ugumu,” alisema.
![]() |
LOGARUSIC |
Tayari Yanga iko nchini Angola tayari kwa maandalizi ya mwsiho ya mechi hiyo ya pilik ya Kombe la Shirikisho.
Katika mechi ya kwanza jijini Dar es Salaam, bila ya Donald Ngoma na Thabani Kamusoko, Yanga ilishinda kwa mabao 2-0.

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: