Posted by On the spot Tz
12:51:00 AM
0

Rais Wa Simba Evanc Aveva
Taarifa kwa vyombo vya habari..
Rais wa klabu ya Simba Mr Evans Aveva kesho atazungumza na waandishi wa habari.
Pamoja na mambo mengine ataelezea kwa kina juu ya ushiriki wa klabu ya Simba kwenye mashindano mbali mbali iliyoshiriki msimu huu hususan ligi kuu ya vodacom inayotarijwa kumalizika mwishoni mwa wiki hii.
Rais Aveva pia atatumia mkutano huo kuelezea changamoto kadhaa ambazo klabu ilikutano nazo katika msimu huu.ikiwa ni pamoja na maandalizi ya msimu ujao
Mkutano huo unatarajiwa kuanza saa sita mchana kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Colessium hotel iliyopo barabara ya Nyerere maeneo ya mnazi mmoja.katikati ya jiji la Dar es salaam tarehe 17-5-2016
Tunachosisitiza mkutano huo ni kati ya rais na wanahabari ambao watauhabarisha umma juu ya kile ambacho rais amekizungumza
Imetolewa na
Haji S.Manara
Mkuu wa habari wa klabu ya Simba
Simba nguvu moja

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: