Posted by On the spot Tz
1:50:00 PM
0
Kundi la pili la viongozi na waandishi wa habari, wameungana na wachezaji wa Yanga walio katika mjiwa Dundo.
Msafara wa Yanga uligawanyika mara mbili jana mara tu baada ya kutua katika jiji la Luanda.
Baada ya hapo, wachezaji, makocha na viongozi wachache walisafiri kwenye mji mdogo wa Dundo ambao timu ya Sagrada Esperanca ambayo wanaivaa kesho katika mechi ya Kombe la Shirikisho.
Yanga walikutana na figisu za hapa na pale baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Luanda.

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: