Posted by On the spot Tz
1:50:00 PM
0
Kundi la pili la viongozi na waandishi wa habari, wameungana na wachezaji wa Yanga walio katika mjiwa Dundo.
Msafara wa Yanga uligawanyika mara mbili jana mara tu baada ya kutua katika jiji la Luanda.
Baada ya hapo, wachezaji, makocha na viongozi wachache walisafiri kwenye mji mdogo wa Dundo ambao timu ya Sagrada Esperanca ambayo wanaivaa kesho katika mechi ya Kombe la Shirikisho.
Yanga walikutana na figisu za hapa na pale baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Luanda.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...



No comments: