Posted by On the spot Tz
7:15:00 AM
0
Straika wa Simba, Ibrahim Ajib aliyepo nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ akifanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa, amesema anaendelea vizuri na ana asilimia kubwa za kufaulu majaribio hayo.
Ajib ambaye alitimkia nchini humo Jumatatu ya wiki iliyopita, anaendelea kufanya majaribio kwenye kikosi cha Golden Arrows kinachoshiriki Ligi Kuu ya Sauz na mpaka sasa tayari ameshafanya kwa siku tatu mfululizo na kikosi hicho kabla ya kupumzika jana na kuendelea tena leo.
“Nashukuru Mungu kwa siku ya kwanza niliyofanya mazoezi kocha ameonyesha kunikubali, mpaka sasa nimeshafanya mazoezi kwa siku tatu na leo (jana) tumepumzika ila kesho (leo) kama kawaida,” alisema Ajib.
Awali meneja wake, Juma Ndambile alisema kama atashindwa katika timu hiyo ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini, atakwenda kufanya majaribio Amazulu inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Afrika Kusini.
SOURCE: CHAMPIONI

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
No comments: