Posted by On the spot Tz
8:43:00 AM
0
-KADI Ally Shariff wa Mtibwa analambwa kadi ya njano kwa kucheza faulo
DAKIKA 3 ZA NYONGEZA
Dk 90, Kazimoto anaingia vizuri kabisa lakini anashindwa kutoa krosi nzuri
KADI Dk 85, Kazimoto analambwa kadi ya njano kwa utovu wa nidhamu
SUB Dk 80, Mtibwa wanamuingiza Ally Yusuf kuchukua nafasi ya Javu
Dk 78, Mtibwa wanapoteza nafasi nyingine nzuri, Muzamilu anapaisha wakati angeweza kumpa mpira huo Javu
Dk 72, Mpira wa kwanza, Gole akiwa na kipa Manyika anapaisha juuu
Dk 71, Maulid Gole anaingia kuchukua nafasi ya Shiza Kichuya
GOOOOOOO Dk 70, krosi safi ya Tshabalala anapiga krosi safi na Banda anaruka na kupigwa kichwa safi sana, baooo la Simba
Dk 66, Mgosi tena anapata nafasi nzuri baada ya kona ya Isihaka, anabutua puuuu
DK 60 hadi 63 bado mpira unaonekana kuchezwa katikati zaidi na kila wanapokaribia langoni wanabutua bila utulivu
Dk 57, beki Dickson Daud anawachambua mabeki watatu wa Simba, lakini akiwa karibu na lango kabisa anashindwa kufunga baada ya kuukosa mpira
SUB Dk 55, Mtibwa wanamtoa Bahanuzi aliyeumia nafasi yake inachukuliwa na Vicent Barnabas
Dk 47, Lufunga anazubaa, Bahanuzi anaachia bunduki kali hapa lakini mpira unapaa juuu
Dk 46, Simba ndiyo wanaoanza kwa kasi, shambulizi la kwanza, krosi nzuri ya Tshabalala lakini Vicent tena anaiwahi na kuokoa
MAPUMZIKO
-Mwalyanzi anapiga vizuri mpira wa adhabu, Said Mohammed Nduda anapangua na kuwa kona, inachongwa na anadaka vizuri kabisa Nduda
DAKIKA 1 YA NYONGEZA
Dk 42 na 45, Simba wanaendelea kupoteza nafasi za kufunga na kuonyesha hawako makini katika umaliziaji
Dk 41, krosi nzuri, Mgosi akiwa hatua tatu nje ya lango la Mtibwa anapiga kichwa kinapaa juuuu kabisa
Dk 37, Beki Vicdent Andrew anaokoa mpira uliokuw aunakwnda kuvuka mstari wa lango
Dk 30, Javu anapiga krosi nyingine matata kabisa, hatariiii, Simba wanaokoa
Dk 28 Mtibwa Sugar wanapoteza nafasi ya wazi kabisa baada ya Muzamilu akiwa hatua tano kutoka langoni anashindwa kufunga
Dk 26, Mgosi anamtoka Vicent kwa kasi kabisa, lakini Dickson Daud anawahi na kuutoa
Dk 18 hadi 21, mpira unaonekana kuwa wa kasi lakini bado hakuna timu inayoonekana kuwa makini kwenye lango la mwenzake
Dk 16, Ndemla anabutua shuti kuuubwaaa bila sababu, goal kick
Dk 14, Simba wanapoteza nafasi nyingine nzuri baada ya krosi safi ya Tshabalala kutua katikati ya lango lakini wanashindwa kuunganisha
Dk 11, Simba wanapata nafasi nzuri kabisa, Mgosi anapiga krosi lakini Mwalyanzi anashindwa
Dk 4 hadi 7, kidogo Mtibwa wanaonekana kucheza vizuri lakini taizo kubwa kumalizia
Dk 2, Mgosi anapiga kichwa kinagonga mwamba na kurudi uwanjani
DAKIKA 1 YA NYONGEZA
Dk 42 na 45, Simba wanaendelea kupoteza nafasi za kufunga na kuonyesha hawako makini katika umaliziaji
Dk 41, krosi nzuri, Mgosi akiwa hatua tatu nje ya lango la Mtibwa anapiga kichwa kinapaa juuuu kabisa
Dk 37, Beki Vicdent Andrew anaokoa mpira uliokuw aunakwnda kuvuka mstari wa lango
Dk 30, Javu anapiga krosi nyingine matata kabisa, hatariiii, Simba wanaokoa
Dk 28 Mtibwa Sugar wanapoteza nafasi ya wazi kabisa baada ya Muzamilu akiwa hatua tano kutoka langoni anashindwa kufunga
Dk 26, Mgosi anamtoka Vicent kwa kasi kabisa, lakini Dickson Daud anawahi na kuutoa
Dk 18 hadi 21, mpira unaonekana kuwa wa kasi lakini bado hakuna timu inayoonekana kuwa makini kwenye lango la mwenzake
Dk 16, Ndemla anabutua shuti kuuubwaaa bila sababu, goal kick
Dk 14, Simba wanapoteza nafasi nyingine nzuri baada ya krosi safi ya Tshabalala kutua katikati ya lango lakini wanashindwa kuunganisha
Dk 11, Simba wanapata nafasi nzuri kabisa, Mgosi anapiga krosi lakini Mwalyanzi anashindwa
Dk 4 hadi 7, kidogo Mtibwa wanaonekana kucheza vizuri lakini taizo kubwa kumalizia
Dk 2, Mgosi anapiga kichwa kinagonga mwamba na kurudi uwanjani
Dk 1, Simba inaanza kwa kasi ikipeleka mashambulizi ya haraka.

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: