
Posted by On the spot Tz
9:38:00 AM
0
Hassan Kessy
SIMBA SC imemsimamsha mechi tano beki wake, Hassan Ramadhani Kessy kwa kumchezea rafu isiyo ya kimchezo mshambuliaji wa Toto Africans, Edward Christopher.
Simba ilifungwa 1-0 na Toto Jumapili katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na Kessy akatolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 47 kwa kumchezea rafu Edward, nyota wa zamani wa timu hiyo Msimbazi.
Pamoja na kumfungia, kocha Jackson Mayanja amewaomba radhi mashabiki wa Simba kwa matokeo hayo na kusema wanarakebisha makosa yao washinde mechi zijazo.
Abdi Banda
Mganda huyo ameshauri kikosi kisibomolewe hata kama Simba itakosa taji msimu huu, ili kiboreshwe na msimu ujao kirejee na nguvu mpya.
Kuhusu kiungo Abdi Banda, kocha huyo amesema mchezaji huyo hajafukuzwa bali amejiondoa mwenyewe kwenye timu baada ya kususa.
Baada ya kupoteza mchezo na Toto kwa bao pekee la Waziri Junior dakika ya 20, Simba inabaki na pointi zake 57 baada ya kucheza mechi 25, ikiendelea kuwa nafasi ya pili, mbele ya Azam FC yenye pointi 55 za mechi 24, wakati Yanga wenye pointi 59 za mechi 24 wapo juu yao.
Wakati huo huo: Simba SC inatarajiwa kuingia kambini visiwani Zanzibar Ijumaa kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Azam FC Mei 1, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
onthespotz.blogspot.com
SIMBA SC imemsimamsha mechi tano beki wake, Hassan Ramadhani Kessy kwa kumchezea rafu isiyo ya kimchezo mshambuliaji wa Toto Africans, Edward Christopher.
Simba ilifungwa 1-0 na Toto Jumapili katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na Kessy akatolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 47 kwa kumchezea rafu Edward, nyota wa zamani wa timu hiyo Msimbazi.
Pamoja na kumfungia, kocha Jackson Mayanja amewaomba radhi mashabiki wa Simba kwa matokeo hayo na kusema wanarakebisha makosa yao washinde mechi zijazo.
Abdi Banda
Mganda huyo ameshauri kikosi kisibomolewe hata kama Simba itakosa taji msimu huu, ili kiboreshwe na msimu ujao kirejee na nguvu mpya.
Kuhusu kiungo Abdi Banda, kocha huyo amesema mchezaji huyo hajafukuzwa bali amejiondoa mwenyewe kwenye timu baada ya kususa.
Baada ya kupoteza mchezo na Toto kwa bao pekee la Waziri Junior dakika ya 20, Simba inabaki na pointi zake 57 baada ya kucheza mechi 25, ikiendelea kuwa nafasi ya pili, mbele ya Azam FC yenye pointi 55 za mechi 24, wakati Yanga wenye pointi 59 za mechi 24 wapo juu yao.
Wakati huo huo: Simba SC inatarajiwa kuingia kambini visiwani Zanzibar Ijumaa kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Azam FC Mei 1, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
onthespotz.blogspot.com

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.

On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.You May Also Like
Usikose Bundesliga msimu wa tatu ndani ya startimes.
FULL TIME : Simba 1 - 0 Rayon sports katika mchezo wa Simba Day.
DK 45 : Zimemalizika Simba 1 - 0 Rayon sports.
LWANDAMINA AJIUZULU RASMI ZESCO SASA MKUU PANDE MKUU SAWA NDANI YA YANGA SC,,,,,,,,,,,,,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
- quantalfaggart says:
Best Casinos in Las Vegas, NV - Mapyro
The best casinos in Las... more
Pageviews
65,032
No comments: