Posted by On the spot Tz
2:17:00 AM
0
Pamoja na kumaliza msimu akiwa nje, mshambuliaji wa Free State Stars ya Afrika Kusini, Mrisho Ngassa ameendelea kujifua gym.
Ngassa alilazimika kumaliza msimu akiwa nje baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti.
“Nimekuwa nikiendelea na mazoezi kama kawaida, hii ni kutaka kuwa fiti zaidi,” alisema Ngassa.
Awali, Ngassa alikuwa amejipatia namba katika kikosi cha kwanza, lakini upasuaji huo ulimuweka nje na hata baada ya kupona, daktari alimzuia kurejea uwanjani akisisitiza tayari ligi ilikuwa imeisha na angeweza kuendelea na mazoezi.

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: