
Posted by On the spot Tz
9:16:00 AM
0

Coastal Union ndiyo timu iliyomaliza Ligi Kuu Bara ikiwa mkiani.
Unaweza kusema ndiyo timu ya kwanza kuteremka daraja baada ya kumaliza ligi ikiwa na pointi 22 tu baada ya kucheza mechi 30.
Lakini mashabiki wake wameonyesha msisitizo, kwamba hiyo haiondoi mahaba na timu klabu yao baada ya kubandika bango kwenye makao makuu ya klabu hiyo linaloonyesha bado wanaendelea kuipenda.

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: