Posted by On the spot Tz
2:39:00 PM
0
Manchester United wamezima kelele za kuonekana wamepoteza mvuto baada ya kubeba Kombe la FA.
Wamelibeba baada ya kuitwanga Crystal Palace kwa mabao 2-1 katika mechi ya fainali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Wembley.
Haikuwa mechi rahisi kwa kila timu na ililazimika kwenda kwa dakika 120, huku Man United wakimaliza dakika 15 za mwisho wakiwa pungufu baada ya beki wake Chris Smalling kulambwa kadi nyekundu iliyotokana na kadi ya pili ya njano.
Mashujaa wa Man United ni Juan Mata na kinda Jesse Lingard aliyemaliza kazi katika dakika 110.
Manchester United: De Gea 7, Valencia 7, Smalling 5, Blind 6, Rojo 6.5 (Darmian 6.5), Carrick 7.5, Mata 7.5 (Lingard 7.5), Fellaini 7, Rooney 8.5, Martial 7, Rashford 8 (Young 6.5)
Subs: Jones, Romero, Ander Herrera, Schneiderlin
Booked: Smalling, Rojo, Mata, Rooney, Fellaini
Scorer: Mata 81'
Crystal Palace: Hennessey 6.5, Ward 7.5, Dann 8 (Mariappa 6.5), Delaney 7.5, Souare 7, Jedinak 7, Cabaye 6 (Puncheon 7.5), Zaha 6.5, McArthur 6, Bolasie 6.5, Wickham 6.5 (Gayle 6.5)
Subs: Speroni, Adebayor, Sako, Kelly
Booked: Dann, Delaney
Scorer: Puncheon 78'
Referee: Mark Clattenburg
Attendance: 88,619
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: