Posted by On the spot Tz
10:28:00 PM
0

Ule ushindani mkali kati ya makocha Jose Mourinho na Pep Guardiola sasa unahamia nchini England.
Tayari Guardiola amesaini kuanza kazi Manchester City huku Jose Mourinho akitarajia kutangazwa leo kuanza kuinoa Manchester United.
Wanajulikana namna ushindani wao mkali ulivyoifanya Ligi Kuu Hispania maarufu kama La Liga kuwa na msisimko mkubwa.
Uwepo wao kwenye Premier League msimu ujao, kutaamsha msisiko upya ukilinganisha na miaka miwili iliyopita, Premier League imeonekana kuwa “si ile”.

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: