Posted by On the spot Tz
8:19:00 AM
0
Msanii wa Hip Hop kutoka Tip Top Connection, Dogo Janja amewatoa udenda mashabiki wake wa instagram baada ya kupost picha akionyesha mabunda ya pesa huku pesa zingine zikiwa kwenye begi.
Dogo Janja
Rapa huyo anayefanya vizuri na wimbo wake ‘My Life’, alipost picha hizo instagram na kuandika: Mshamba anaeishi maisha yake.
hh
Baada yakupost picha hizo instagram, mashabiki walianza kupost maoni yao huku wengi wakionyesha kutopendezwa na hatua hiyo.
_____ozii
Pesa kuonesha hadhan ndugu utajkuta pabaya watu skuiz washa geuka so watu pls so ktu kzu kufanya hvy uspende kuonesha hadhara ni wazo langu tu ndugu one love man
Checheclassic
Hyoo pesa umeitoa wp janjaro
Fightking
Dont be happy becouse of Money it is just paper
Materujacqueline_fans
Nikopeshe bac maana mate yamenitoka elfu kumi kuishika Siku hizi ni shidaa
omachito1977
Con ese dinero te puedes comprar una cara nueva (Pamoja na fedha kwamba unaweza kununua sura mpya)
onthespottz.blogspot.com
Dogo Janja
Rapa huyo anayefanya vizuri na wimbo wake ‘My Life’, alipost picha hizo instagram na kuandika: Mshamba anaeishi maisha yake.
hh
Baada yakupost picha hizo instagram, mashabiki walianza kupost maoni yao huku wengi wakionyesha kutopendezwa na hatua hiyo.
_____ozii
Pesa kuonesha hadhan ndugu utajkuta pabaya watu skuiz washa geuka so watu pls so ktu kzu kufanya hvy uspende kuonesha hadhara ni wazo langu tu ndugu one love man
Checheclassic
Hyoo pesa umeitoa wp janjaro
Fightking
Dont be happy becouse of Money it is just paper
Materujacqueline_fans
Nikopeshe bac maana mate yamenitoka elfu kumi kuishika Siku hizi ni shidaa
omachito1977
Con ese dinero te puedes comprar una cara nueva (Pamoja na fedha kwamba unaweza kununua sura mpya)
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
Burudani
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: