Posted by On the spot Tz
9:04:00 AM
0

Beki mkali wa kulia wa Barcelona, Dani Alves anatarajia kujiunga na Juventus ya Italia kwa ajili ya msimu ujao.
Raia huyo wa Brazil aliyeichezea Barcelona kwa mafanikio makubwa, anatarajia kujiunga Juventus kwa kitita cha pauni million 5.3.
Tayari Alves ana miaka 33, lakini ni kati ya mabeki bora kabisa wa kulia kuwahi kutokea katika kikosi cha Barcelona na Brazil pia.

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: