Posted by On the spot Tz
9:37:00 PM
0
Mchezo
wa kutafuta nafasi ya kushiriki Kombe la Dunia 2018 linalotaraji
kufanyika nchini Urusi kati ya Brazil na Argentina umemalizika kwa
wenyeji Brazil kuibua na ushindi wa goli 3-0.
Magoli
ya Brazil yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 25, Neymar dakika
ya 45 na Paulinho katika dakika ya 59 ya mchezo huo.
Kwa
ushindi huo, Brazil imefikisha alama 24 ikiwa katika nafasi ya kwanza,
ikifuatiwa na Uruguay yenye alama 23, Colombia ikishika alama ya tatu na
alama 18 huku Argentina ikiwa nafasi ya sita na alama 16.
Matokeo ya michezo mingine ni;
Colombia 0 – 0 Chile
Uruguay 2 – 1 Ecuador
Paraguay 1 – 4 Peru
Venezuela 5 – 0 Bolivia
Colombia 0 – 0 Chile
Uruguay 2 – 1 Ecuador
Paraguay 1 – 4 Peru
Venezuela 5 – 0 Bolivia
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...



No comments: