Posted by On the spot Tz
9:37:00 PM
0
Mchezo
wa kutafuta nafasi ya kushiriki Kombe la Dunia 2018 linalotaraji
kufanyika nchini Urusi kati ya Brazil na Argentina umemalizika kwa
wenyeji Brazil kuibua na ushindi wa goli 3-0.
Magoli
ya Brazil yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 25, Neymar dakika
ya 45 na Paulinho katika dakika ya 59 ya mchezo huo.
Kwa
ushindi huo, Brazil imefikisha alama 24 ikiwa katika nafasi ya kwanza,
ikifuatiwa na Uruguay yenye alama 23, Colombia ikishika alama ya tatu na
alama 18 huku Argentina ikiwa nafasi ya sita na alama 16.
Matokeo ya michezo mingine ni;
Colombia 0 – 0 Chile
Uruguay 2 – 1 Ecuador
Paraguay 1 – 4 Peru
Venezuela 5 – 0 Bolivia
Colombia 0 – 0 Chile
Uruguay 2 – 1 Ecuador
Paraguay 1 – 4 Peru
Venezuela 5 – 0 Bolivia
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...



No comments: