Rais Magufuli alivyomtembelea mkewe mama Janeth Hospitalini Muhimbili,,,,,,,,,,,,


Rais  Dkt .  John  Pombe  Magufuli   Akimjulia  Hali  Mkewe  Mama  Janeth Magufuli.
 

Leo November 10 2016 Rais Magufuli amewatembelea na kuwajulia hali wagonjwa waliolazwa katika wodi ya Sewahaji iliyopo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam wakiwemo Waziri na Balozi Mstaafu wa Tanzania Omar Ramadhan Mapuri na Mkewe Mama Janeth Magufuli.
 Rais Magufuli na Waziri na Balozi Mstaafu wa Tanzania Omar Ramadhan Mapuri


 Rais Magufuli na baadhi ya madaktari na wauguzi kwenye wodi ya Sewa Haji
«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post


No comments:

Leave a Reply