Posted by On the spot Tz
10:54:00 AM
0
Rais Dkt . John Pombe Magufuli Akimjulia Hali Mkewe Mama Janeth Magufuli.
Leo
November 10 2016 Rais Magufuli amewatembelea na kuwajulia hali wagonjwa
waliolazwa katika wodi ya Sewahaji iliyopo katika Hospitali ya Taifa
Muhimbili Jijini Dar es Salaam wakiwemo Waziri na Balozi Mstaafu wa
Tanzania Omar Ramadhan Mapuri na Mkewe Mama Janeth Magufuli.
Rais Magufuli na Waziri na Balozi Mstaafu wa Tanzania Omar Ramadhan Mapuri
Rais Magufuli na baadhi ya madaktari na wauguzi kwenye wodi ya Sewa Haji
Tagged with:
HABARI KITAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...






No comments: