
Posted by On the spot Tz
2:50:00 AM
0
Baadhi ya wakazi wa Zanzibar wamempongeza Rais Dkt John Magufuli kwa kutoa hotuba waliyoiita ‘safi’ inayosadifu hali ya maisha ya watanzania.
Kwa siku na nyakati tofauti baadhi ya wakazi wa Zanzibar walisema kuwa hotuba ya Rais Magufuli aliyoitoa katika mkutano wa kutoa shukrani baada ya uchaguzi uliopita, imejenga imani kubwa kwa maendeleo na wananchi sambamba na kukemea suala la ubaguzi miongoni mwa wananchi na viongozi.
Moja kati ya wakati wa Zanzibar waliweza kutoa maoni tofauti tofauti kuhusiana na hotuba hiyo.
“Rais Magufuli alizungumzia vizuri suala la amani, halafu vilevile bila amani usingeweza kuja kunihoji hapa kwa hiyo amani ndio kila kitu,” alisema mkazi mmoja wa Zanzibar.
“Kwanza nampongeza mheshimiwa rais kwasababu hotuba yake imetufanya sisi vijana tuamke na tufanye kazi na sio kukaa maskani kama unavyotuona hapa,” alisema kijana mmoja.
Katika hotuba hiyo, Rais Magufuli alisisitiza zaidi suala la maendeleo.
“Tunataka maendeleo, na mimi niwaombe ndugu zangu watanzania wote, lengo letu kubwa liwe maendeleo kwa watanzania, maendeleo kwa wazanzibar, maendeleo kwa wapemba, tupeleke Tanzania yetu mbele,tupeleke Zanzibar yetu mbele, vyama tuweke pembeni,” alisema.
onthespottz.blogspot.com
Kwa siku na nyakati tofauti baadhi ya wakazi wa Zanzibar walisema kuwa hotuba ya Rais Magufuli aliyoitoa katika mkutano wa kutoa shukrani baada ya uchaguzi uliopita, imejenga imani kubwa kwa maendeleo na wananchi sambamba na kukemea suala la ubaguzi miongoni mwa wananchi na viongozi.
Moja kati ya wakati wa Zanzibar waliweza kutoa maoni tofauti tofauti kuhusiana na hotuba hiyo.
“Rais Magufuli alizungumzia vizuri suala la amani, halafu vilevile bila amani usingeweza kuja kunihoji hapa kwa hiyo amani ndio kila kitu,” alisema mkazi mmoja wa Zanzibar.
“Kwanza nampongeza mheshimiwa rais kwasababu hotuba yake imetufanya sisi vijana tuamke na tufanye kazi na sio kukaa maskani kama unavyotuona hapa,” alisema kijana mmoja.
Katika hotuba hiyo, Rais Magufuli alisisitiza zaidi suala la maendeleo.
“Tunataka maendeleo, na mimi niwaombe ndugu zangu watanzania wote, lengo letu kubwa liwe maendeleo kwa watanzania, maendeleo kwa wazanzibar, maendeleo kwa wapemba, tupeleke Tanzania yetu mbele,tupeleke Zanzibar yetu mbele, vyama tuweke pembeni,” alisema.

Tagged with:
HABARI KITAIFA

On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
- quantalfaggart says:
Best Casinos in Las Vegas, NV - Mapyro
The best casinos in Las... more
Pageviews
65,832
No comments: