Posted by On the spot Tz
5:30:00 AM
0
Baada ya Mrisho Ngasa kukanyaga ardhi ya Tanzania maswali kwa wadau wa soka yamekuwa ni kutaka kujua kama mchezaji huyo wa zamani wa Yanga ataruhusiwa kujiunga na klabu yoyote itakayomuhitaji.
Sports Extra ya Clouds ilimtafuta afisa habari wa TFF Alfred Lucas ili kujua taratibu na kanuni zikoje endapo kama kuna timu itataka kumsajili Ngasa kwa ajili ya michuano ya ligi kuu Tanzania bara lakini hata ikibidi mashindano ya kimataifa.
Lucas amesema Ngasa ananafasi ya kujiunga na timu yeyote itakayomuhitaji huku usajili huo ukitakiwa kufanywa kabla ya Septembre 6.
“Hata sisi tumeiona taarifa ya Ngasa kuwa hana mkataba tena na Free State Stars sasa kwa usajili wetu wa hapa nyumbani anaweza akapata nafasi kwasababu dirisha la usajili la FIFA linafungwa September 6 na hii lazima ieleweke vizuri sana, kilichofanya Yanga achelewe wakati ule ni usajili wa ndani kwa maana ya kwamba sisi TFF tulifungua usajili wa ndani kuanzia 15 June -16 August lakini kwa upande wa kimataifa dirisha linafungwa September 6”, Alfred Lucas alikaririwa na Clouds FM kupitia Sports Extra.
“Kwahiyo kama itatokea timu inamtaka kwasababu kama ameshapewa barua ya kuachwa kwaiyo inaweza ikamlinda kufdanyiwa usajili.”
Ngasa amerejea Tanzania September 3 akitokea South Africa ambapo alivunja mkataba wake na klabu ya Free State Stars inayoshiriki ligi kuu nchini humo.
Baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa jijini Dar, Ngasa hakuwa tayari kuzungumza lolote juu ya kuvunja mkataba na kurejea nyumbai badala yake akasema: “Nimerudi nyumbani kwa sasa imi ni mchezaji huru nimekuja kupumzika kidogo kisha nitasema nitaenda kucheza wapi.”
Sports Extra ya Clouds ilimtafuta afisa habari wa TFF Alfred Lucas ili kujua taratibu na kanuni zikoje endapo kama kuna timu itataka kumsajili Ngasa kwa ajili ya michuano ya ligi kuu Tanzania bara lakini hata ikibidi mashindano ya kimataifa.
Lucas amesema Ngasa ananafasi ya kujiunga na timu yeyote itakayomuhitaji huku usajili huo ukitakiwa kufanywa kabla ya Septembre 6.
“Hata sisi tumeiona taarifa ya Ngasa kuwa hana mkataba tena na Free State Stars sasa kwa usajili wetu wa hapa nyumbani anaweza akapata nafasi kwasababu dirisha la usajili la FIFA linafungwa September 6 na hii lazima ieleweke vizuri sana, kilichofanya Yanga achelewe wakati ule ni usajili wa ndani kwa maana ya kwamba sisi TFF tulifungua usajili wa ndani kuanzia 15 June -16 August lakini kwa upande wa kimataifa dirisha linafungwa September 6”, Alfred Lucas alikaririwa na Clouds FM kupitia Sports Extra.
“Kwahiyo kama itatokea timu inamtaka kwasababu kama ameshapewa barua ya kuachwa kwaiyo inaweza ikamlinda kufdanyiwa usajili.”
Ngasa amerejea Tanzania September 3 akitokea South Africa ambapo alivunja mkataba wake na klabu ya Free State Stars inayoshiriki ligi kuu nchini humo.
Baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa jijini Dar, Ngasa hakuwa tayari kuzungumza lolote juu ya kuvunja mkataba na kurejea nyumbai badala yake akasema: “Nimerudi nyumbani kwa sasa imi ni mchezaji huru nimekuja kupumzika kidogo kisha nitasema nitaenda kucheza wapi.”

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: