
Posted by On the spot Tz
4:16:00 AM
0
Ni katika kipindi cha Morning Trumpet asubuhi ya leo Prof alipoulizwa ni kwa nini alikuwa mpinzani wa kwanza kumtembelea na kumpongeza Rais Magufuli baada ya kuchaguliwa?
Professa alijibu bila mashaka kuwa Rais Magufuli anamkubali kwa kubeba agenda ambayo ndiyo iliyokuwa ikiwapa kiki wapinzani. Kwa sasa vyama vya upinzani vinaweza kabisa kupotea visipojipanga vizuri.
Hili linathibitishwa kwa mfano na mabadiliko yaliyoletwa na Lowasa ndani ya CHADEMA. Tangu Lowasa alivyoitwaa CHADEMA sijawahi sikia CHADEMA ikikemea UFISADI, sanasana wamegeuka watetezi eti Magufuli anawaonea mafisadi.
Hongera Professa!! wewe na Dr Slaa ndio mmethibitisha kuwa ni wapinzani wa kweli ambao lengo lenu ni maslahi ya taifa na sio wengine ambao lengo lao kwa sasa hata halijulikani.
onthespottz.blogspot,com

Tagged with:
HABARI KITAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: