Posted by On the spot Tz
9:15:00 AM
0
Mshambuliaji nyota wa Barcelona, Lionel Messi amekubali kurejea katika kikosi cha timu yake ya taifa ya Argentina.
Messi alitangaza kustaafu mwezi Juni baada ya michuano ya Copa America walipofungwa na Chile.
Lakini mazungumzo yaliyohusisha hadi serikali ya Argentina, yalikuwa yakiendelea na mwisho ametangaza kwamba anarejea.
“Nilianza kuona mimi ni kama tatizo. Ninaipenda sana nchi yangu, ninaipenda sana timu yangu ya taifa,” alisema Messi.
“Ninaona ninaweza tena kuungana nao na kufanya kila juhudi ifanye vizuri, niliamua vile kwa kuwa sikutaka kuendelea kuumia au kuwaumiza wanaonitegemea,” aliongeza.
Ingawa hajasema moja kwa moja lakini inaelezwa ataanza kuitumikia tena Argentina katika mechi dhidi ya Uruguay halafu Venezuela kuwania kucheza Kombe la Dunia.

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: