Posted by On the spot Tz
9:35:00 PM
0
Mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden ambaye alikuwa anichezea klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa Zlatan Ibrahimovic, amegoma kuweka wazi kama atajiunga kweli na klabu ya Man United kama inavyoripotiwa au la, Zlatan amejibu hivyo baada ya kuulizwa swali wakati wa uzinduzi wa Clothing line yake.
Wengi walikuwa wanasubiri kwa hamu kuwa staa huyo Jumanne ya June 7 2016 atatangaza klabu gani atajiunga nayo, hiyo inatokana na Jumatatu ya June 6 kutangaza kuwa watu wakae tayari kwani Jumanne atatangaza jambo kubwa na muhimu.
Zlatan na Jose Mourinho wakati wakiwa Inter Milan pamoja
Zlatan hakutangaza kama wengi walivyotarajia kuwa hiyo ndio itakuwa siku atakayotangaza kujiunga na Man United, haikuwa hivyo kwani alitangaza kuzindua brand yake ya mavazi ya A-Z, wakati wa uzinduzi huo aliulizwa kuhusu timu gani atajiunga nayo.
“Kwa sasa malengo yangu ni A-Z na haijathibitika nitajiunga klabu gani, napenda hizi stori ziendelee ili siku nikichoka nitawaambia najiunga na klabu gani, ila kwa sasa kuwa mvumilivu siwezi kusema ndio au hapana kuhusu mpango wa Man United ila malengo yangu ni A-Z, kwani hata nikiwa Man United nitavaa nguo za A-Z.
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...


No comments: