Posted by On the spot Tz
2:48:00 PM
0
| Young Dee akiwa na boss wake, Max Rioba |
Akiongea na waandishi wa habari Jumatano hii, Mkurugenzi wa label hiyo, Max Rioba, amesema Young Dee ana ngoma ambazo zikitoka zitabadili taswira ya muziki wa bongo.
“Wimbo mpya anaofuata sasa hivi unaenda kutengeneza historia mpya katika tasnia ya muziki,” alisema Max.
Aliongeza, “Kuna kitu kingine hamjui, Young Dee ana nyimbo zaidi ya mia mbili ambazo tunazo studio, kwa mfano juzi kati tulipost kavideo fulani akiimba, hiyo ni moja kati nyimbo mia mbili na kitu,”
Rapper huyo ambaye siku hiyo alikiri kutumia Madawa ya kulevya, aliwaomba radhi mashabiki wake huku akiwaahidi mambo mazuri kutoka kwake.
onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
Burudani
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...


No comments: