Posted by On the spot Tz
2:48:00 PM
0

Young Dee akiwa na boss wake, Max Rioba |
Akiongea na waandishi wa habari Jumatano hii, Mkurugenzi wa label hiyo, Max Rioba, amesema Young Dee ana ngoma ambazo zikitoka zitabadili taswira ya muziki wa bongo.
“Wimbo mpya anaofuata sasa hivi unaenda kutengeneza historia mpya katika tasnia ya muziki,” alisema Max.
Aliongeza, “Kuna kitu kingine hamjui, Young Dee ana nyimbo zaidi ya mia mbili ambazo tunazo studio, kwa mfano juzi kati tulipost kavideo fulani akiimba, hiyo ni moja kati nyimbo mia mbili na kitu,”
Rapper huyo ambaye siku hiyo alikiri kutumia Madawa ya kulevya, aliwaomba radhi mashabiki wake huku akiwaahidi mambo mazuri kutoka kwake.
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
Burudani
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: