Posted by On the spot Tz
3:33:00 PM
0
Wabunge wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wameendelea
kususia vikao vinavyoendeshwa na Naibu Spika, Dk Tulia Ackson.
Jana, wabunge hao walitoka kwa muda katika Ukumbi wa Pius Msekwa wakati naibu spika huyo alipokuwa akifungua semina kuhusu ubia kati ya sekta binafsi na umma (PPP) na walirejea muda mfupi baada ya kumaliza kusoma hotuba yake na kumwachia Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Josephat Kandege kuongoza.
Hata hivyo, waliporejea walikaa upande mmoja wa ukumbi huo wakijitenga na wabunge wa CCM na baada ya kumaliza semina hiyo, wabunge hao walionekana wakikwepa kusalimiana na wenzao wa CCM.
Akizungumzia kitendo hicho, Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, James Mbatia alisema, “Wabunge wote wa Ukawa huwa tunaenda katika kamati, hilo hatujalikataa, tuliyokataa ni mambo ya michezo, ya kushiriki katika kantini, kusalimiana na vikao vyote vinavyoendeshwa na Dk Tulia,” alisema Mbatia.
onthespottz.blogspot.com
Jana, wabunge hao walitoka kwa muda katika Ukumbi wa Pius Msekwa wakati naibu spika huyo alipokuwa akifungua semina kuhusu ubia kati ya sekta binafsi na umma (PPP) na walirejea muda mfupi baada ya kumaliza kusoma hotuba yake na kumwachia Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Josephat Kandege kuongoza.
Hata hivyo, waliporejea walikaa upande mmoja wa ukumbi huo wakijitenga na wabunge wa CCM na baada ya kumaliza semina hiyo, wabunge hao walionekana wakikwepa kusalimiana na wenzao wa CCM.
Akizungumzia kitendo hicho, Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, James Mbatia alisema, “Wabunge wote wa Ukawa huwa tunaenda katika kamati, hilo hatujalikataa, tuliyokataa ni mambo ya michezo, ya kushiriki katika kantini, kusalimiana na vikao vyote vinavyoendeshwa na Dk Tulia,” alisema Mbatia.
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
HABARI KITAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: