Posted by On the spot Tz
3:33:00 PM
0
Wabunge wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wameendelea
kususia vikao vinavyoendeshwa na Naibu Spika, Dk Tulia Ackson.
Jana, wabunge hao walitoka kwa muda katika Ukumbi wa Pius Msekwa wakati naibu spika huyo alipokuwa akifungua semina kuhusu ubia kati ya sekta binafsi na umma (PPP) na walirejea muda mfupi baada ya kumaliza kusoma hotuba yake na kumwachia Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Josephat Kandege kuongoza.
Hata hivyo, waliporejea walikaa upande mmoja wa ukumbi huo wakijitenga na wabunge wa CCM na baada ya kumaliza semina hiyo, wabunge hao walionekana wakikwepa kusalimiana na wenzao wa CCM.
Akizungumzia kitendo hicho, Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, James Mbatia alisema, “Wabunge wote wa Ukawa huwa tunaenda katika kamati, hilo hatujalikataa, tuliyokataa ni mambo ya michezo, ya kushiriki katika kantini, kusalimiana na vikao vyote vinavyoendeshwa na Dk Tulia,” alisema Mbatia.
onthespottz.blogspot.com
Jana, wabunge hao walitoka kwa muda katika Ukumbi wa Pius Msekwa wakati naibu spika huyo alipokuwa akifungua semina kuhusu ubia kati ya sekta binafsi na umma (PPP) na walirejea muda mfupi baada ya kumaliza kusoma hotuba yake na kumwachia Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Josephat Kandege kuongoza.
Hata hivyo, waliporejea walikaa upande mmoja wa ukumbi huo wakijitenga na wabunge wa CCM na baada ya kumaliza semina hiyo, wabunge hao walionekana wakikwepa kusalimiana na wenzao wa CCM.
Akizungumzia kitendo hicho, Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, James Mbatia alisema, “Wabunge wote wa Ukawa huwa tunaenda katika kamati, hilo hatujalikataa, tuliyokataa ni mambo ya michezo, ya kushiriki katika kantini, kusalimiana na vikao vyote vinavyoendeshwa na Dk Tulia,” alisema Mbatia.
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
HABARI KITAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: