Posted by On the spot Tz
4:34:00 PM
0
Patrick Kahemele anatarajia kuchukua kiti cha katibu mkuu wa klabu ya Simba.
Taarifa
za uhakika kutoka ndani ya klabu ya Simba zimeeleza, mazungumzo kati ya
Kahemele aliyewahi kufanya kazi na Azam FC na uongozi wa Simba ni kama
yamekamilika.
“Naweza kusema mazungumzo kwa sasa ni asilimia tisini na tano, hivyo tuamini atakuwa katibu mkuu mpya,” alisema.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments: