Posted by On the spot Tz
9:40:00 AM
0
Mteni wa kabila la Wasukuma wilayani hapa Mkoa wa Mwanza, John Nyanza (70), amefariki dunia.
Katibu wa Umoja wa Watemi wa Usukuma, Charles Itale, amesema jana kuwa mtemi huyo alifariki dunia Juni 15, mwaka huu majira ya alfajiri kwa ugonjwa wa saratani.
“Mtemi mwenzetu alifariki dunia katikati ya wiki iliyopita wakati akiendelea kupatiwa matibabu Hospitali ya Rufaa Bugando (BMC),” amesema Itale.
Utemi wa Usukuma ambao makao makuu yake yapo Bujora, unaundwa na mikoa ya Shinyanga, Simiyu na Mwanza.
onthespottz.blogspt.com
Katibu wa Umoja wa Watemi wa Usukuma, Charles Itale, amesema jana kuwa mtemi huyo alifariki dunia Juni 15, mwaka huu majira ya alfajiri kwa ugonjwa wa saratani.
“Mtemi mwenzetu alifariki dunia katikati ya wiki iliyopita wakati akiendelea kupatiwa matibabu Hospitali ya Rufaa Bugando (BMC),” amesema Itale.
Utemi wa Usukuma ambao makao makuu yake yapo Bujora, unaundwa na mikoa ya Shinyanga, Simiyu na Mwanza.
onthespottz.blogspt.com

Tagged with:
HABARI KITAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: