

Posted by On the spot Tz
9:46:00 AM
0
Mbunge wa Ubungo Said Kubenea ameonyesha nakala zinazothibitisha umiliki wa kiwanja alichokataa waziri wa ulinzi Hussein Mwinyi na ametaka mbunge huyo kujiuzulu.
Amesema kiwanja hicho alikitaja bungeni na Dk. Mwinyi akadai madai yake yote ni ya uwongo mtupu na kukiwa hata na chembe ya ukweli atajiuzulu na sasa amemtaka ajiuzulu kweli kama alivyoahidi.
Mbunge huyo pia amesema ameapanga kumshitaki naibu spika kwenye kamati ya maadili kwa madai kuwa anatumia kanuni za bunge isivyo kikanuni
Angalia Video:
Amesema kiwanja hicho alikitaja bungeni na Dk. Mwinyi akadai madai yake yote ni ya uwongo mtupu na kukiwa hata na chembe ya ukweli atajiuzulu na sasa amemtaka ajiuzulu kweli kama alivyoahidi.
Mbunge huyo pia amesema ameapanga kumshitaki naibu spika kwenye kamati ya maadili kwa madai kuwa anatumia kanuni za bunge isivyo kikanuni
Angalia Video:

Tagged with:
HABARI KITAIFA

On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
- quantalfaggart says:
Best Casinos in Las Vegas, NV - Mapyro
The best casinos in Las... more
Pageviews
66,279
No comments: