Posted by On the spot Tz
2:56:00 PM
0
Kijana mmoja mkoani Tanga Jumatano hii ameziondoa sehemu zake zote za siri kwa kuzikata na kitu chenye ncha kali.
Akiongea katika kipindi cha Power Breakfast cha Clouds Fm Alhamisi hii, Daktari wa Idara ya Upasuaji katika Hospitali ya Muheza mkoani Tanga, Dk. Abas Mussa, amesema jana majira ya mchana walimpokea mgonjwa huyo akiwa hana sehemu zake zote za siri.
“Jana tulimpokea mgonjwa katika chumba kidogo cha upasuaji akiwa ameletwa kwa ajili ya kushonwa,” alisema Dk Abas. Mgonjwa huyo baada ya kumkagua tuligundua kwamba ameondoa sehemu zake za siri, alijieleza kwamba yeye mwenyewe ana tatizo la akili na amehisi kwamba amejiwa na vitu kama mashetani au majini ambayo yalimuamuru kuondoa sehemu zake za siri. Tuliona huyu mtu alitumia kitu chenye ncha kali, mfano wa kisu ambacho aliweza kujiondoa uume wake pamoja na korodani mbili,”
Aliongeza, “Mteja wetu huyu alikuja katika hali ya kumwagika damu, kutokana na jeraha hili kubwa tukaamua kumpeleka katika chumba cha upasuaji, kwa ajili ya kufanyiwa matibabu zaidi, sehemu za siri hazikuwepo kabisa, kwa maana hata ushahidi wa kuziona zikiwa zimebebwa pembini haupo, kwa hiyo itakuwa baada ya kuziondoa zilisalia huko huko ambako aliziondoa, ilibakia sehemu ya wazi ambayo iliweza kushonwa na kurudi kawaida, tulicho jitahidi ni kuhakikisha kwamba hatoki tena damu, lakini pia tumeshona yale majeraha ili aweze kupata uwazi wake wakutoa mkojo, na pia kwa sasa anaendelea vizuri,”
onthespottz.blogspot.com
Akiongea katika kipindi cha Power Breakfast cha Clouds Fm Alhamisi hii, Daktari wa Idara ya Upasuaji katika Hospitali ya Muheza mkoani Tanga, Dk. Abas Mussa, amesema jana majira ya mchana walimpokea mgonjwa huyo akiwa hana sehemu zake zote za siri.
“Jana tulimpokea mgonjwa katika chumba kidogo cha upasuaji akiwa ameletwa kwa ajili ya kushonwa,” alisema Dk Abas. Mgonjwa huyo baada ya kumkagua tuligundua kwamba ameondoa sehemu zake za siri, alijieleza kwamba yeye mwenyewe ana tatizo la akili na amehisi kwamba amejiwa na vitu kama mashetani au majini ambayo yalimuamuru kuondoa sehemu zake za siri. Tuliona huyu mtu alitumia kitu chenye ncha kali, mfano wa kisu ambacho aliweza kujiondoa uume wake pamoja na korodani mbili,”
Aliongeza, “Mteja wetu huyu alikuja katika hali ya kumwagika damu, kutokana na jeraha hili kubwa tukaamua kumpeleka katika chumba cha upasuaji, kwa ajili ya kufanyiwa matibabu zaidi, sehemu za siri hazikuwepo kabisa, kwa maana hata ushahidi wa kuziona zikiwa zimebebwa pembini haupo, kwa hiyo itakuwa baada ya kuziondoa zilisalia huko huko ambako aliziondoa, ilibakia sehemu ya wazi ambayo iliweza kushonwa na kurudi kawaida, tulicho jitahidi ni kuhakikisha kwamba hatoki tena damu, lakini pia tumeshona yale majeraha ili aweze kupata uwazi wake wakutoa mkojo, na pia kwa sasa anaendelea vizuri,”
onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
HABARI KITAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...



No comments: