
Posted by On the spot Tz
4:55:00 PM
0
CHIRWA |
Mshambuliaji Obey Chirwa, amekwea pipa kwenda nchini Uturuki kuungana na kikosi cha Yanga kilichoweka kambi nchini Uturuki.
CHIRWA AKIWA UWANJA WA NDEGE WA
KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE (JNIA), TAYARI KWA SAFARI HIYO. AKIWA NA
MKUU WA KITENGE CHA HABARI NA MAWASILIANO CHA YANGA, JERRY MURO.
Chirwa
raia wa Zambia aliyejiunga na Yanga akitokea FC Platinums ya Zimbabwe
anatarajia kuanza mara moja mazoezi baada ya kutua nchini humo ili
kuchukua nafasi ya Tambwe.
Atachukua
nafasi ya Tambwe katika mechi dhidi ya TP Mazembe kwa kuwa mshambuliaji
huyo raia wa Burundi ana kadi mbili za njano zitazomzuia kucheza mechi
hiyo.
Chirwa
ameonekana akiwa ni mwenye furaha wakati alipokuwa Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), tayari kwa safari hiyo ya Uturuki.

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: