Posted by On the spot Tz
2:40:00 PM
0
Uongozi wa Yanga umeamua mechi yao dhidi ya TP Mazembe keshokutwa Jumanne itakuwa bure.
Mashabiki
wataingia bila kulipa kiingilio kushuhudia mechi hiyo ya Kombe la
Shirikisho itakayopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Imeelezwa,
uamuzi huo umepitishwa usiku huu baada ya viongozi wa Yanga kukutana
katika kikao cha pamoja na Mwenyekiti, Yusuf Manji.
"Kikao ni kati ya baadhi ya viongozi pamoja na mwenyekiti. Uamuzi ni kwamba mechi hiyo itakuwa haina kiingilio na mashabiki waaruhusiwa kwenda kwa wingi kuishangilia Yanga," kilieleza chanzo.
"Si lazima kila shabiki anayekuja awe wa Yanga, waambie na mashabiki wa Simba waje. Hata kama watabeba bendera tu za Tanzania.
"Yanga ni ya Tanzania, Yanga haitokei Congo na TP Mazembe haitokei Tanzania, waje waishangilie timu ya Tanzania."
onthespottz.blogspot.com
"Kikao ni kati ya baadhi ya viongozi pamoja na mwenyekiti. Uamuzi ni kwamba mechi hiyo itakuwa haina kiingilio na mashabiki waaruhusiwa kwenda kwa wingi kuishangilia Yanga," kilieleza chanzo.
"Si lazima kila shabiki anayekuja awe wa Yanga, waambie na mashabiki wa Simba waje. Hata kama watabeba bendera tu za Tanzania.
"Yanga ni ya Tanzania, Yanga haitokei Congo na TP Mazembe haitokei Tanzania, waje waishangilie timu ya Tanzania."
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: