Posted by On the spot Tz
4:30:00 AM
0
Wachezaji wa Leicester City pamoja na bench la ufundi watafaidika kwa kupewa magari aina ya
Mercedes Benz.
Hii ni baada ya timu hiyo kubeba ubingwa wa Ligi Kuu England na kuwashangaza wengi ambao waliamini ingekuwa ni timu ya kupambana kuepuka kuteremka daraja.
Mmiliki wa timu timu hiyo aria wa Thailand, Vichai Srivaddhanaprabha ameamua kutoa magari 30 aina ya Mercedes B-Class Electric Drive ambayo yanatumia umeme badala ya mafuta ili kuendesha injini yake.
Magari hayo ya kisasa yatakabidhiwa kwa wachezaji na watu wa bench la ufundi.
Bei ya gari moja aina ya Mercedes B-Class Electric Drive ni pauni 32,670 (zaidi ya Sh million 103).
Kabla ya hapo, milionea Srivaddhanaprabha alishawaahidi wachezaji na benchi la ufundi la Leicester safari ya kwenda kula bata jijini Las Vegas, Marekani.
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...




No comments: