Posted by On the spot Tz
4:30:00 AM
0
Wachezaji wa Leicester City pamoja na bench la ufundi watafaidika kwa kupewa magari aina ya
Mercedes Benz.
Hii ni baada ya timu hiyo kubeba ubingwa wa Ligi Kuu England na kuwashangaza wengi ambao waliamini ingekuwa ni timu ya kupambana kuepuka kuteremka daraja.
Mmiliki wa timu timu hiyo aria wa Thailand, Vichai Srivaddhanaprabha ameamua kutoa magari 30 aina ya Mercedes B-Class Electric Drive ambayo yanatumia umeme badala ya mafuta ili kuendesha injini yake.
Magari hayo ya kisasa yatakabidhiwa kwa wachezaji na watu wa bench la ufundi.
Bei ya gari moja aina ya Mercedes B-Class Electric Drive ni pauni 32,670 (zaidi ya Sh million 103).
Kabla ya hapo, milionea Srivaddhanaprabha alishawaahidi wachezaji na benchi la ufundi la Leicester safari ya kwenda kula bata jijini Las Vegas, Marekani.
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...




No comments: