Posted by On the spot Tz
3:04:00 AM
0
Hii imekua ni wiki mbaya kidogo kwa msanii Harmonize kutoka WCB, mara baada ya video moja kusambaa sana mitandaoni ikimwonyesha akimtukana mwanadada Wema Sepetu. Ukweli ni kua Wema ameumizwa sana na video ile hadi kuenea kwa habari ambazo hazijathibitishwa kua kamfungulia kesi Harmonize.
Ambacho Harmonize hakujua ni kua Wema ni shabiki wake mkubwa kwani ni zaidi ya mara moja wema ameonekana akiimba wimbo wa msanii huyo. Na kitendo cha Wema kuona video ile kunaweza kufanya akaacha kua shabiki wa Harmonize.
Ambacho Harmonize hakujua ni kua Wema ni shabiki wake mkubwa kwani ni zaidi ya mara moja wema ameonekana akiimba wimbo wa msanii huyo. Na kitendo cha Wema kuona video ile kunaweza kufanya akaacha kua shabiki wa Harmonize.
Unaweza tazama video ya Wema Sepetu na Martin Kadinda wakiimba wimbo wa Harmonize hapa chini

Tagged with:
Burudani
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: