Posted by On the spot Tz
12:00:00 AM
0
Habari za ajali ya kuzama kwa mtumbwi ambao ulikuwa unatumika kuwavusha watu kutoka upande wa soko kuu feri na kuelekea Kigamboni zilianza kuenea May 27 2016 ambapo Mtumbwi huo unasadikika kubeba watu zaidi ya 16 ambao baadhi yao wametoka wazima na watano wameripotiwa kufa.
Ayo TV imezungumza na Mratibu msaidizi wa Jeshi la Zimamoto, Bashir Mazehebi ambaye amezungumza haya …………….’>>>’chombo kilichopata ajali ni Boti za fiber ambazo zinatumika mara kwa mara pale Kigamboni kunapokuwa na msongamano wa watu kuna biashara ya kuvusha watu huwa inafanyiaka, jana kulikuwa na msongamano wa watu pale hatimaye baadhi ya watu waliamua kupanda chombo hicho ambacho sio rasmi’
UNAWEZA KUANGALIA VIDEO HII:
Ayo TV imezungumza na Mratibu msaidizi wa Jeshi la Zimamoto, Bashir Mazehebi ambaye amezungumza haya …………….’>>>’chombo kilichopata ajali ni Boti za fiber ambazo zinatumika mara kwa mara pale Kigamboni kunapokuwa na msongamano wa watu kuna biashara ya kuvusha watu huwa inafanyiaka, jana kulikuwa na msongamano wa watu pale hatimaye baadhi ya watu waliamua kupanda chombo hicho ambacho sio rasmi’
UNAWEZA KUANGALIA VIDEO HII:

Tagged with:
HABARI KITAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: