Posted by On the spot Tz
2:22:00 PM
0
Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Louis van Gaal ana matumaini ya kusalia katika kilabu hiyo msimu ujao.
Raia huyo wa Uholanzi hajapewa thibitisho lolote kuhusu hatma yake lakini ana matumaini ya kuendelea kuhudumu kwa mwaka wa mwisho wa kandarasi yake ya miaka mitatu aliyotia saini mwaka 2014.
Alisema:Nimesema nitakuwa hapa,hayo ni maoni yangu kwa hivyo ni bodi kuamua iwapo nitasalia au la.
Van Gaal amekuwa na shinikizo kali tangu mwezi Disemba na aliyekuwa mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho anaaminika kufanya mazungumzo na maafisa wa Manchester United.
United ambao walitangaza matokeo ya kifedha ya robo mwaka na ambao wanatarajia kupitisha mapato ya pauni 500 mwaka huu,wanajua kwamba hawatashiriki katika kombe la vilabu bingwa Ulaya kwa mara ya pili katika kipindi cha misimu mitatu iwapo Manchester City itazuia kushindwa katika mechi yao ya mwisho dhidi ya Swansea siku ya Jumapili.

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: