Posted by On the spot Tz
9:23:00 AM
0
TIMU ya TP Mazembe ya DRC imekuwa ya kwanza kwenda hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF), licha ya kufungwa mabao 2-1 jioni ya leo na wenyeji, Stade Gabesien mjini Tunis, Tunisia.
Kwa matokeo hayo, Mazembe wanasonga mbele kwa faida ya bao la ugenini, baada ya awali kushinda 1-0 nyumbani Lubumbashi.
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Emmanuel Ulimwengu (pichani juu) leo aliihenyesha safu ya ulinzi ya Stade Gabesien, kabla ya kutolewa dakika ya 83 akiwa hoi kumpisha Luyindama.
Katika mchezo wa leo, Youssef Fouzhi alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 28 kwa penalti ya utata, kabla ya Jonathan Blingi kuisawazishia Mazembe dakika ya 70.
Ahmed Hosni akaifungia Stade Gabesien dakika ya 75, lakini halikuisaidia timu yake kwenda hatua ya makundi.
Kikosi cha Gabesien kilikuwa: Slim Rebai Akram Ben Sassi, Al'i Hammami, Mohamed Ben Mansour Hamza Baccouche, Aymen Kthiri Fabrice Onana/Mohamed Ben Tarcha dk60, Hamza Hadda/Wajdi Mejri dk82, Fouzhi Youssef Ahmed Hosni na Hichem Essifi.
TP Mazembe; Gbohouo - Frimpong, Kimwaki, Coulibaly, Kasusula, Bope, Sinkala, Kalaba/Adjei dk53, Ulimwengu/Luyindama dk83, Bolingi, A na Traore/Kanda dk68.
onthespottz.blogspot.com
Kwa matokeo hayo, Mazembe wanasonga mbele kwa faida ya bao la ugenini, baada ya awali kushinda 1-0 nyumbani Lubumbashi.
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Emmanuel Ulimwengu (pichani juu) leo aliihenyesha safu ya ulinzi ya Stade Gabesien, kabla ya kutolewa dakika ya 83 akiwa hoi kumpisha Luyindama.
Katika mchezo wa leo, Youssef Fouzhi alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 28 kwa penalti ya utata, kabla ya Jonathan Blingi kuisawazishia Mazembe dakika ya 70.
Ahmed Hosni akaifungia Stade Gabesien dakika ya 75, lakini halikuisaidia timu yake kwenda hatua ya makundi.
Kikosi cha Gabesien kilikuwa: Slim Rebai Akram Ben Sassi, Al'i Hammami, Mohamed Ben Mansour Hamza Baccouche, Aymen Kthiri Fabrice Onana/Mohamed Ben Tarcha dk60, Hamza Hadda/Wajdi Mejri dk82, Fouzhi Youssef Ahmed Hosni na Hichem Essifi.
TP Mazembe; Gbohouo - Frimpong, Kimwaki, Coulibaly, Kasusula, Bope, Sinkala, Kalaba/Adjei dk53, Ulimwengu/Luyindama dk83, Bolingi, A na Traore/Kanda dk68.
onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...



No comments: