Posted by On the spot Tz
9:23:00 AM
0
TIMU ya TP Mazembe ya DRC imekuwa ya kwanza kwenda hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF), licha ya kufungwa mabao 2-1 jioni ya leo na wenyeji, Stade Gabesien mjini Tunis, Tunisia.
Kwa matokeo hayo, Mazembe wanasonga mbele kwa faida ya bao la ugenini, baada ya awali kushinda 1-0 nyumbani Lubumbashi.
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Emmanuel Ulimwengu (pichani juu) leo aliihenyesha safu ya ulinzi ya Stade Gabesien, kabla ya kutolewa dakika ya 83 akiwa hoi kumpisha Luyindama.
Katika mchezo wa leo, Youssef Fouzhi alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 28 kwa penalti ya utata, kabla ya Jonathan Blingi kuisawazishia Mazembe dakika ya 70.
Ahmed Hosni akaifungia Stade Gabesien dakika ya 75, lakini halikuisaidia timu yake kwenda hatua ya makundi.
Kikosi cha Gabesien kilikuwa: Slim Rebai Akram Ben Sassi, Al'i Hammami, Mohamed Ben Mansour Hamza Baccouche, Aymen Kthiri Fabrice Onana/Mohamed Ben Tarcha dk60, Hamza Hadda/Wajdi Mejri dk82, Fouzhi Youssef Ahmed Hosni na Hichem Essifi.
TP Mazembe; Gbohouo - Frimpong, Kimwaki, Coulibaly, Kasusula, Bope, Sinkala, Kalaba/Adjei dk53, Ulimwengu/Luyindama dk83, Bolingi, A na Traore/Kanda dk68.
onthespottz.blogspot.com
Kwa matokeo hayo, Mazembe wanasonga mbele kwa faida ya bao la ugenini, baada ya awali kushinda 1-0 nyumbani Lubumbashi.
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Emmanuel Ulimwengu (pichani juu) leo aliihenyesha safu ya ulinzi ya Stade Gabesien, kabla ya kutolewa dakika ya 83 akiwa hoi kumpisha Luyindama.
Katika mchezo wa leo, Youssef Fouzhi alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 28 kwa penalti ya utata, kabla ya Jonathan Blingi kuisawazishia Mazembe dakika ya 70.
Ahmed Hosni akaifungia Stade Gabesien dakika ya 75, lakini halikuisaidia timu yake kwenda hatua ya makundi.
Kikosi cha Gabesien kilikuwa: Slim Rebai Akram Ben Sassi, Al'i Hammami, Mohamed Ben Mansour Hamza Baccouche, Aymen Kthiri Fabrice Onana/Mohamed Ben Tarcha dk60, Hamza Hadda/Wajdi Mejri dk82, Fouzhi Youssef Ahmed Hosni na Hichem Essifi.
TP Mazembe; Gbohouo - Frimpong, Kimwaki, Coulibaly, Kasusula, Bope, Sinkala, Kalaba/Adjei dk53, Ulimwengu/Luyindama dk83, Bolingi, A na Traore/Kanda dk68.
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: