Posted by On the spot Tz
12:07:00 PM
0
Klabu ya African Sports imeungana na vilabu vingine vya Tanga (Coastal Union na Mgambo JKT) kuipa mkono wa kwaheri ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara baada ya kuchapwa bao 2-0 na Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa mwisho wa ligi uliochezwa kwenye uwanja wa Manungu Complex, Turiani, Morogoro.
African Sports na Mgambo JKT zote zilikuwa zikihitaji ushindi kwenye mechi zao za leo huku zikiombea mabaya timu za Ruvu JKT na Kagera Sugar ili zenyewe ziwe na uhakika wa kusalia VPL.
Lakini mabo yalikuwa tofauti baada ya Ruvu JKT kuichapa Simba kwenye uwanja wa taifa huku Kagera Sugar wakipata sare ya kufungana bao 2-2 dhidi ya Mwadui FC.
Kwenye uwanja wa Azam Complex, Mgambo imeshuka daraja kwa kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Azam FC. Mgambo iliyokuwa ikihitaji ushindi kwenye mchezo wa leo imejikuta ikishindwa kupata ushindi kwa mara nyingine mbele ya Azam ambao sare hiyo imewafanya wamalize kwenye nafasi ya pili nyuma ya mabingwa Yanga.
Simba waliokuwa wakiwania nafasi ya pili wamechapwa na Ruvu JKT na timu hiyo iliyo chini ya kocha wa zamani wa Simba King Kibadeni imenusurika kushuka daraja.
onthespottz.blogspot.com
African Sports na Mgambo JKT zote zilikuwa zikihitaji ushindi kwenye mechi zao za leo huku zikiombea mabaya timu za Ruvu JKT na Kagera Sugar ili zenyewe ziwe na uhakika wa kusalia VPL.
Lakini mabo yalikuwa tofauti baada ya Ruvu JKT kuichapa Simba kwenye uwanja wa taifa huku Kagera Sugar wakipata sare ya kufungana bao 2-2 dhidi ya Mwadui FC.
Kwenye uwanja wa Azam Complex, Mgambo imeshuka daraja kwa kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Azam FC. Mgambo iliyokuwa ikihitaji ushindi kwenye mchezo wa leo imejikuta ikishindwa kupata ushindi kwa mara nyingine mbele ya Azam ambao sare hiyo imewafanya wamalize kwenye nafasi ya pili nyuma ya mabingwa Yanga.
Simba waliokuwa wakiwania nafasi ya pili wamechapwa na Ruvu JKT na timu hiyo iliyo chini ya kocha wa zamani wa Simba King Kibadeni imenusurika kushuka daraja.
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
No comments: