Posted by On the spot Tz
10:27:00 PM
0
Barcelona imechukua ubingwa wa La Liga baada ya kuitwanga Granada kwa mabao 3-0.
Mabao yote ya Barcelona yamefungwa na mshambuliaji mtukutu raia wa Uruguay, Luis Suarez.
Ushindi huo, unaipa Barcelona ubingwa kwa tofauti ya pointi moja dhidi ya washindani wao wakubwa, Real Madrid ambao wameishinda Derpotivo la Coruna kwa bao 2-0, zote zikifungwa na Cristiano Ronaldo.
Granada: Fernandez 8, Lomban 5, Babin 5, Costa 5.5 (Doria 81mins), Lopes 5, Doucoure 4, Perez 4, Rochina 4.5 (Cuenca 46), Rico 4.5, Penaranda 5, El-Arabi 6 (Barral 77)
Subs not used: Biraghi, Marquez Moreno, Krhin, Fernandez Collado
Booked: Doucoure, Perez, Rico, Fernandez
Barcelona: Ter Stegen 7, Alves 7.5, Pique 7.5, Mascherano 7.5 (Mathieu 74), Alba 7.5, Busquets 6.5 (Sergi Roberto 88), Rakitic 6.5 (Arda 80), Iniesta 8, Messi 7.5, Suarez 9, Neymar 8
Subs not used: Rafinha, El Haddadi, Vidal, Masip
Booked: Busquets, Pique
Goals: Suarez 22, 38, 86
Referee: Alejandro Jose Hernandez Hernandez
onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...










No comments: