Posted by On the spot Tz
12:49:00 PM
0
Jackson Mayanja
Uongozi wa Simba, umeanza kazi kimyakimya ya kufanya mazungumzo na makocha kadhaa wa nje ya Tanzania.
Taarifa zinaeleza, uongozi wa Simba unataka kuimarisha benchi lake la ufundi kwa kusajili makocha wenye uwezo wa juu.
“Kweli hiyo kazi imeanza, lakini hatuwezi kusema ni kutoka wapi na itakuwaje,” kilieleza chanzo.
Taarifa nyingine zinaeleza kwamba Simba imeanza maandalizi pia ya kumpata kocha mpya wa makipa.
“Ninavyojua viongozi wa Simba wameamua kufanya mambo yao kimyakimya kwanza. Wanachunguza lakini watakachofanya kikubwa ni kuboresha benchi la ufundi.”
Kocha Jackson Mayanja raia wa Uganda, alijiunga na Simba katika nafasi ya kocha msaidizi lakini kabla ya kuanza kazi, aliyekuwa Kocha Mkuu, Dylan Kerr akatimuliwa.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...


No comments: