Posted by On the spot Tz
2:00:00 PM
0
Nyota wa mchezo wa tenisi kwa upande wa wanawake Serena Williams alijitia ugonjwa baada ya kula chakula cha mbwa saa chache kabla ya kufuzu katika robo fainali ya mashindano ya Italian Open.
Serena alijaribu kula kijiko kimoja cha chakula cha mbwa wake kabla ya kumshinda Mmarekani mwenzake Christina McHale katika seti za moja kwa moja.
''Nilisema kwani kuna nini,nitajaribu kipande kimoja,kinaonja utamu'',alisema.
''Lakini mda mchache nililazimika kukimbia chooni kama ambaye ningezimia''.
''Chakula kilikuwa na ladha mbaya''.
''Kinaonja kama dawa ya kusafisha nyumba''.Katika video ya Snap chat ,wiliams alielezea kuwa alichukua samaki na wali uliokuwa katika chakula kilichopewa mbwa katika hoteli aliyokuwa akilala.
''Nilijilazimisha kula'',alisema mchezaji huyo wa Marekani mwenye umri wa miaka 34.
''Sijui wanatia nini katika chakula hiki cha mbwa,lakini mbwa alikipenda sana''

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: