Posted by On the spot Tz
9:37:00 AM
0
Stewart John Hall
Kocha Stewart John Hall, sasa si kocha wa Azam FC tena.
Hall raia wa Uingereza amekaa meza moja na Azam FC, wamekubaliana na amebwaga manyanga, anaondoka zake.
Uongozi wa Azam FC, umethibitisha kwamba Hall si kocha wao tena baada ya kumalizana naye.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Saad Kawemba, amesema: "Kikosi sasa kitabaki chini ya kocha msaidizi, Dennis Kitambi na ndiye atamalizana nayo ligi pamoja na mechi ya fainali ya Kombe la FA dhidi ya Yanga.
“Tumekaa pamoja na kukubaliana pande zote mbili, alituomba kuachia ngazi kwa lengo la kutafuta changamoto nyingine nje ya nchi.
“Tunamtakia kila la kheri aendako, pia tunamshukuru kwa mafanikio kwani tuko nafasi ya pili katika ligi na pia fainali ya Kombe la FA."
REKODI ZA HALL:
MECHI 62
SHINDA 41
SARE 16
POTEZA 5
Hii ni tokea alipotua Azam FC Juni, 2015.
MABAO YA KUFUNGA 111
MABAO YA KUFUNGWA 41
BILA KUFUNGWA (Mechi 31)
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...


No comments: