Posted by On the spot Tz
4:03:00 AM
0
Mshambuliaji wa Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta ana imani kubwa ya kufanya vizuri kama tu atakuwa na afya njema.
Samatta amejiunga na timu hiyo ya Ligi Kuu Ubelgiji akitokea TP Mazembe ya DR Congo aliyoiwezesha kubeba ubingwa wa Afrika.
“Naendelea vizuri ingawa ni kipindi kifupi, naona wananiamini pia nimezoea mazingira ya hapa,” alisema.
“Tumebakiza mechi mbili, nitarejea na mwisho ni maandalizi ya msimu ujao. Matumaini yangu ya kuwa kikosi cha kwanza ni makubwa lakini ni majaaliwa hasa nikiwa na afya njema,” alisema Samatta.
Tayari Samatta ameanza kuonyesha cheche zake katika mechi za ligi ya nchi hiyo akiwa na Genk kama kufunga mabao na kutoa pasi nzuri zinazozaa mabao.
Mtanzania huyo anazidi kuonekana ni msaada jambo ambalo litamsaidia kuaminika zaidi kwa kuwa ni mtendaji bora.
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...



No comments: