Posted by On the spot Tz
4:03:00 AM
0
Mshambuliaji wa Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta ana imani kubwa ya kufanya vizuri kama tu atakuwa na afya njema.
Samatta amejiunga na timu hiyo ya Ligi Kuu Ubelgiji akitokea TP Mazembe ya DR Congo aliyoiwezesha kubeba ubingwa wa Afrika.
“Naendelea vizuri ingawa ni kipindi kifupi, naona wananiamini pia nimezoea mazingira ya hapa,” alisema.
“Tumebakiza mechi mbili, nitarejea na mwisho ni maandalizi ya msimu ujao. Matumaini yangu ya kuwa kikosi cha kwanza ni makubwa lakini ni majaaliwa hasa nikiwa na afya njema,” alisema Samatta.
Tayari Samatta ameanza kuonyesha cheche zake katika mechi za ligi ya nchi hiyo akiwa na Genk kama kufunga mabao na kutoa pasi nzuri zinazozaa mabao.
Mtanzania huyo anazidi kuonekana ni msaada jambo ambalo litamsaidia kuaminika zaidi kwa kuwa ni mtendaji bora.
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...



No comments: