
Posted by On the spot Tz
10:34:00 AM
0
Klabu ya Barcelona imekubali ofa nono ya kampuni ya vifaa vya michezo ya Nike.
Gazeti la kila siku la Diario la nchini Hispania limeandika kuwa mkataba huo mpya kati ya Barcelona na Nike utagharimu pauni million 120 kwa msimu na ndiyo utakuwa mkubwa kuliko mingine.
Mkubwa kwa sasa ni ule kati ya Adidas na Manchester United ambao kwa msimu ni pauni million 75.
Imeelezwa pande hizo mbili zimekubaliana mkataba huo uende hadi mwaka 2026.
MIKATABA MIKUBWA
1) Barcelona - Nike (£120m kwa msimu)
2) Manchester United - Adidas (£75m kwa msimu)
3) Chelsea - Nike (£60m kwa msimu)
4) Bayern Munich - Adidas (£46m kwa msimu)
5) Real Madrid - Adidas (£30m kwa msimu)
6) Arsenal - Puma (£30m kwa msimu)

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: