Posted by On the spot Tz
4:22:00 AM
0
Pamoja na mazoezi mengine, mshambuliaji nyota wa Free State Stars ya Afrika Kusini, Mrisho Ngassa amekuwa akijifua akifanyah mazoezi ya mchezo wa ngumi.
Mwanasoka huyo Mtanzania anayekipiga nchini Afrika Kusini, amekuwa akifanya mazoezi na mazoezi akiwa amewekewa kocha maalum ambaye pia ni daktari.
Ngassa amesema amekuwa akifanya mazoezi ya aina mbalimbali kuhakikisha anarejea fiti baada ya upasuaji wa goti alilofanyiwa.
“Nafanya mazoezi ya aina mbalimbali, kila kitu ni maelekezo yake kocha. Hivyo ngumi kama unavyoona ni sehemu ya mazoezi,” alisema.
Baada ya kutua katika kikosi hicho, Ngassa alipata nafasi ya kucheza katika kikosi cha kwanza. Lakini kuumia kulimuweka nje takribani mwezi kabla ya kufanyiwa upasuaji huo wa goti.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...



No comments: