Posted by On the spot Tz
12:13:00 PM
0
Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MEDIA ambayo ipo chini ya Reginald Mengi.
Wanachama na mashabiki wamefikia hatua hiyo baada ya kukasirishwa na kitendo cha Reginald Mengi kutumia vyombo vyake vya habari kuandika habari za uongo na uchochezi kuhusu Yusuph Manji ili kuivuruga Yanga. Mengi ambaye pia ni mwanachama wa Yanga anaonyesha kutofurahishwa kwake na uwepo wa Manji katika klabu ya Yanga.
onthespottz.blogspot.com
Wanachama na mashabiki wamefikia hatua hiyo baada ya kukasirishwa na kitendo cha Reginald Mengi kutumia vyombo vyake vya habari kuandika habari za uongo na uchochezi kuhusu Yusuph Manji ili kuivuruga Yanga. Mengi ambaye pia ni mwanachama wa Yanga anaonyesha kutofurahishwa kwake na uwepo wa Manji katika klabu ya Yanga.
onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...




No comments: