Posted by On the spot Tz
9:04:00 AM
0
MANYIKA JR

VICENT AGBAN
Klabu ya Simba imeanza kusaka kipa mwingine mzoefu kwa ajili ya kujiimarisha kwa msimu ujao.
Habari za uhakika kutoka ndani ya Simba, zimeeleza tayari juhudi za kumnasa kipa mpya zimeanza.
“Kipa kweli anatafutwa, Manyika na Agbani pia watabaki. Lengo ni kutanua zaidi wigo katika nafasi ya ulinzi wakianzia na kipa.
“Kipa anayetafutwa anatakiwa kuwa wa humu Tanzania. Halafu Agbani yeye ataendelea kubaki,” kilieleza chanzo.
Kwa msimu wote, Simba zaidi imewatumia makipa wawili, Vicent Agbani raia wa Ivory Coast na Peter Manyika ambaye zaidi alidaka mechi za mwanzoni na sasa mwishoni amekuwa akipewa nafasi.
onthespottz.blogspot.comTagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...


No comments: