Posted by On the spot Tz
9:20:00 AM
0
KLABU ya Manchester United inataka kumsajili mchezaji mwenye thamani ya Pauni Milioni 54, Saul Niguez wa Atletico Madrid, ikiwa ni sehemu ya mipango ya kocha mpya mtarajiwa, Jose Mourinho.
Saul ni moja ya bidhaa adimu kwa sasa Hispania na bao lake pekee dhidi ya Bayern Munich katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya limezidi kumpadisha chati.
Kinda huyo wa umri wa miaka 21, yuko sawa na Renato Sanches, ambaye Man United walijaribu kumsajili akiwa Benfica kabla ya kuzidiwa kete na Bayern.
Saul Niguez.
Saul ni moja ya bidhaa adimu kwa sasa Hispania na bao lake pekee dhidi ya Bayern Munich katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya limezidi kumpadisha chati.
Kinda huyo wa umri wa miaka 21, yuko sawa na Renato Sanches, ambaye Man United walijaribu kumsajili akiwa Benfica kabla ya kuzidiwa kete na Bayern.
Saul Niguez.
Saul amecheza mashindano yote akiwa na Atletico kwa misimu miwili iliyopita na kutokea kuwa tegemeo la kocha Diego Simeone katika kikosi chake cha kwanza.
Anaweza kucheza kama kiungo kati au wa pembeni — ana uhakika wa kupata namba mbele ya Mourinho. Wakati akicheza kwa mkopo Rayo Vallecano msimu wa 2013-14, Saul alicheza pia kama beki wa kati.
Hajawahi kuchezea kikosi cha Hispania cha wakubwa, lakini
Saul amechezea mechi 47 vikosi vya timu za vijana za nchi hiyo.
Kwa mara ya kwanza aliitwa kikosi cha wakubwa mwaka jana kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Costa Rica na wa kufuzu Euro 2016 dhidi ya Belarus, lakininhakukanyaga uwanjani kwenye mechi.
Pamoja na hayo, kocha wa Hispania, Vicente del Bosque amemjumuisha kwenye kikosi cha mwisho cha wachezaji 23 kitakachokwenda kwenye michuano ya Euro 2016 nchini Ufaransa.
Hajawahi kuchezea kikosi cha Hispania cha wakubwa, lakini
Saul amechezea mechi 47 vikosi vya timu za vijana za nchi hiyo.
Kwa mara ya kwanza aliitwa kikosi cha wakubwa mwaka jana kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Costa Rica na wa kufuzu Euro 2016 dhidi ya Belarus, lakininhakukanyaga uwanjani kwenye mechi.
Pamoja na hayo, kocha wa Hispania, Vicente del Bosque amemjumuisha kwenye kikosi cha mwisho cha wachezaji 23 kitakachokwenda kwenye michuano ya Euro 2016 nchini Ufaransa.

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: