Posted by On the spot Tz
2:57:00 AM
0
Wakala wa mabasi yaendayo kwa haraka nchini Tanzania -UDART imesema kuwa suala la watumishi wa umma wakiwemo walimu na polisi kupanda bure katika mabasi hayo bado halijafanyiwa utaratibu hivyo wataendelea kulipa kama watu wengine.
Akizungumza Jijini Dar es Salaam, jana Meneja Uhusiano wakala wa mabasi yaendayo haraka UDART, William Gatambi, amesema endapo watafanya hivyo italeta mchanganyiko kwa sababu mfumo uliopo hauruhusu mtu kupita bila kulipia.
Bw. Gatambi amesema kwa sasa wanatumia mfumo wa karatasi wakati wakiwa kwenye mchakato wa kuandaa mfumo wa tiketi za kieletroniki ambao wanaweza kufanya utaratibu ambao unaweza ukatoa nafasi kwa watumishi hao kupanda bure.
Aidha, Afisa Uhusiano huyo amesema katika kukabiliana na changamoto za foleni katika vituo hivyo wameamua kuzikata tikeki kabisa ili kusiwe na usumbufu kwa wasafiri wanaowahi kufika vituoni kwa sababu mara nyingine mtandao wa kutoa risiti unafanya taratibu katika utoaji risiti.
Aidha, amesema kuwa abairia hawana haja ya kukimbiala mabasi hayo hata kama limejaa kwa kuwa kupishana kwake yanachukua muda mfupi kituo kwa kituo hivyo ni vyema mtu kusubiri baada ya kuona gari limejaa.
onthespottz.blogspot.com
Akizungumza Jijini Dar es Salaam, jana Meneja Uhusiano wakala wa mabasi yaendayo haraka UDART, William Gatambi, amesema endapo watafanya hivyo italeta mchanganyiko kwa sababu mfumo uliopo hauruhusu mtu kupita bila kulipia.
Bw. Gatambi amesema kwa sasa wanatumia mfumo wa karatasi wakati wakiwa kwenye mchakato wa kuandaa mfumo wa tiketi za kieletroniki ambao wanaweza kufanya utaratibu ambao unaweza ukatoa nafasi kwa watumishi hao kupanda bure.
Aidha, Afisa Uhusiano huyo amesema katika kukabiliana na changamoto za foleni katika vituo hivyo wameamua kuzikata tikeki kabisa ili kusiwe na usumbufu kwa wasafiri wanaowahi kufika vituoni kwa sababu mara nyingine mtandao wa kutoa risiti unafanya taratibu katika utoaji risiti.
Aidha, amesema kuwa abairia hawana haja ya kukimbiala mabasi hayo hata kama limejaa kwa kuwa kupishana kwake yanachukua muda mfupi kituo kwa kituo hivyo ni vyema mtu kusubiri baada ya kuona gari limejaa.
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
HABARI KITAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: