Posted by On the spot Tz
3:56:00 AM
0

Alianza kuongelewa kwenye mitandao ya kijamii Tanzania baada ya video yake kusambaa akichangia bungeni kwenye bunge la bajeti Dodoma na kusema haoni sababu ya bunge kurushwa live lakini apia kauli yake nyingine iliyosambaa ni ile aliyosema anatamani hata kulia.
Baada ya hapo watu wakaitafuta CV yake na kuisambaza mitandaoni ikionyesha alianza Form One akiwa na miaka 30, amekuwa mkurugenzi wa kampuni ya Aggy Classic Entertainment bado akiwa ni mwanafunzi wa kidato cha pili, yote hayo ameyaona na anayajibu kwenye hii video hapa chini
Video:
Baada ya hapo watu wakaitafuta CV yake na kuisambaza mitandaoni ikionyesha alianza Form One akiwa na miaka 30, amekuwa mkurugenzi wa kampuni ya Aggy Classic Entertainment bado akiwa ni mwanafunzi wa kidato cha pili, yote hayo ameyaona na anayajibu kwenye hii video hapa chini
Video:
Tagged with:
HABARI KITAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...


No comments: