Posted by On the spot Tz
7:52:00 AM
0

Kiungo mshambuliaji Philippe Coutinho ameshinda tena nafasi ya mchezaji bora wa Liverpool.
’
Coutinho ameshinda tuzo hiyo katika hafla ya utoaji tuzo hizo iliyofanyika usiku wa kuamkia leo.
Raia huyo wa Brazil amekuwa na msimu mzuri na kikosi cha Liverpool.
Kiungo Emre Can naye ameibuka na tuzo ya mchezaji anayechipukia wa Liverpool huku Brad Smith akibeba tuzo ya mchezaji bora kijana aliye katika shule ya klabu hiyo.
onthespottz.blogspot.co
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...















No comments: