Posted by On the spot Tz
3:45:00 AM
0
Kocha wa timu ya Tanzania Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa ameeleza amejibu kwa nini amemuita Nadir Haroub Cannavaro katika kikosi licha ya staa huyo kutangaza kuwa amestaafu kuichezea Taifa Stars.
“Labda niseme tu mimi sijapata taarifa za yeye kujiuzulu timu ya taifa wala ofisi kunipa barua yoyote, mimi nimeona uzoefu wake bado unahitajika katika timu nimeona nimuite, kuhusu kustaafu lazima astaafu kwa heshima sio kienyeji tu hatuwezi kumfanyia hivyo”
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Nadir Haroub Cannavaro alitangaza kustaafu kucheza timu ya Taifa ya Tanzania, baada ya kuvuliwa unahodha pasipo taarifa rasmi na uongozi kumpatia nafasi hiyo Mbwana Samatta.
onthespottz.blogspot.com
“Labda niseme tu mimi sijapata taarifa za yeye kujiuzulu timu ya taifa wala ofisi kunipa barua yoyote, mimi nimeona uzoefu wake bado unahitajika katika timu nimeona nimuite, kuhusu kustaafu lazima astaafu kwa heshima sio kienyeji tu hatuwezi kumfanyia hivyo”
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Nadir Haroub Cannavaro alitangaza kustaafu kucheza timu ya Taifa ya Tanzania, baada ya kuvuliwa unahodha pasipo taarifa rasmi na uongozi kumpatia nafasi hiyo Mbwana Samatta.

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: