Posted by On the spot Tz
3:45:00 AM
0
Kocha wa timu ya Tanzania Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa ameeleza amejibu kwa nini amemuita Nadir Haroub Cannavaro katika kikosi licha ya staa huyo kutangaza kuwa amestaafu kuichezea Taifa Stars.
“Labda niseme tu mimi sijapata taarifa za yeye kujiuzulu timu ya taifa wala ofisi kunipa barua yoyote, mimi nimeona uzoefu wake bado unahitajika katika timu nimeona nimuite, kuhusu kustaafu lazima astaafu kwa heshima sio kienyeji tu hatuwezi kumfanyia hivyo”
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Nadir Haroub Cannavaro alitangaza kustaafu kucheza timu ya Taifa ya Tanzania, baada ya kuvuliwa unahodha pasipo taarifa rasmi na uongozi kumpatia nafasi hiyo Mbwana Samatta.
onthespottz.blogspot.com
“Labda niseme tu mimi sijapata taarifa za yeye kujiuzulu timu ya taifa wala ofisi kunipa barua yoyote, mimi nimeona uzoefu wake bado unahitajika katika timu nimeona nimuite, kuhusu kustaafu lazima astaafu kwa heshima sio kienyeji tu hatuwezi kumfanyia hivyo”
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Nadir Haroub Cannavaro alitangaza kustaafu kucheza timu ya Taifa ya Tanzania, baada ya kuvuliwa unahodha pasipo taarifa rasmi na uongozi kumpatia nafasi hiyo Mbwana Samatta.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...



No comments: