Posted by On the spot Tz
11:01:00 PM
0

Kikosi cha timu ya wanawake ya Arsenal kimebeba ubingwa kwa kuitwanga Chelsea iliyokuwa bingwa mtetezi kwa bao 1-0.
Arsenal yenye chini ya Kocha Arsene Wenger imekosa kombe hata moja, sijui Wenger amewaona wanadada hao walivyofanya kazi nzuri.
Hata Chelsea walitaka kujipoza, lakini imeshindikana. Kwani ubingwa umekwenda Arsenal huku timu yao ya wanaume ikiwa imefulia ile mbaya msimu huu.
Arsenal (4-2-3-1): Van Veenendall 6; Scott 6.5, Henning 7.5, Stoney 8, Mitchell 6.5; Williams 7.5 (Janssen 74mins, 6.5), Losada 7; Oshoala 7.5 (Williamson 89), Nobbs 8, Carter 8.5; Smith 7 (Van de Donk 74, 6.5)
Unused subs: Byrne, Pablos Sanchon
Booked: Oshoala
Goal: Carter 18
Manager: Pedro Martinez Losa 7
Chelsea (4-2-3-1): Lindahl 7.5; Blundell 6.5, Bright 5.5 (England 78), Flaherty 6.5, Borges 5; Spence 6, Chapman 6; Davison 7, Ji 6, Carney 6.5 (Aluko 55, 7); Kirby 6.
Unused subs: Spencer, Rafferty.
Booked: England
Manager: Emma Hayes 6
Referee: Sarah Garratt 7
Attendance: 32,912
Player of the Match: Danielle Carter
onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...











No comments: